pesapesa50
Member
- Mar 29, 2021
- 19
- 29
Habari wakuu,
Mimi ni kijana umri miaka 26 mkazi wa Dsm natafuta ajira yeyote au kibarua.
Elimu: Nina diploma ya electrical engineering
Ujuzi mwingine: mbali na ufundi umeme, pia matumizi ya computer na programs kama (m/s word, excel, powerpoint) programming skills mplab ++c
Nipo tayari kufanya kazi yeyote ngumu na kawaida ambayo ni halali pia.
Ahsanteni
Mimi ni kijana umri miaka 26 mkazi wa Dsm natafuta ajira yeyote au kibarua.
Elimu: Nina diploma ya electrical engineering
Ujuzi mwingine: mbali na ufundi umeme, pia matumizi ya computer na programs kama (m/s word, excel, powerpoint) programming skills mplab ++c
Nipo tayari kufanya kazi yeyote ngumu na kawaida ambayo ni halali pia.
Ahsanteni