pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Wakuu habarini!
Mimi ni kijana kwenye umri miaka 27 elimu yangu ni shahada ya uwalimu ..nilihitimu mwaka 2018.
Nipo mbele yenu kutafuta kazi yeyote ile ili niweze kuishi katika kipindi hiki cha janga hili la corona..
Mtu yeyote mwenye kazi naomba aniambie kwa sibagui kazi ...kazi yeyote naweza kufanya.
Msaada wakuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana kwenye umri miaka 27 elimu yangu ni shahada ya uwalimu ..nilihitimu mwaka 2018.
Nipo mbele yenu kutafuta kazi yeyote ile ili niweze kuishi katika kipindi hiki cha janga hili la corona..
Mtu yeyote mwenye kazi naomba aniambie kwa sibagui kazi ...kazi yeyote naweza kufanya.
Msaada wakuu!
Sent using Jamii Forums mobile app