Hello wakuu natanguliza shukrani kwenu,
Nina mdogo wangu kamaliza kozi ya ukunga ngazi ya cheti, kwa Sasa gharama za kuendelea na diploma zinasumbua hivyo tumeona tumtaftie kazi kwanza.
Kwahiyo, mwenye taarifa kuhusu uhitaji wa kazi hii katika hospitali yeyote anisaidie.
Nina mdogo wangu kamaliza kozi ya ukunga ngazi ya cheti, kwa Sasa gharama za kuendelea na diploma zinasumbua hivyo tumeona tumtaftie kazi kwanza.
Kwahiyo, mwenye taarifa kuhusu uhitaji wa kazi hii katika hospitali yeyote anisaidie.