Ungekuwa dodoma aisee ungefurahinifate pm
kwahiyo we ni wakala naona, hongera kwa kujiajiri kwa staili hyo mkuuHiyo sikuwa mimi .. Nilikuwa namtafutia Mdogo wangu yupo dar na siyo mimi... Na kwa bahati nzuri alifanikiwa kupata kwani kunamtu nilimuunganisha naye...
Kumsaidia mdogo wangu sio lazima niwe wakala..kwahiyo we ni wakala naona, hongera kwa kujiajiri kwa staili hyo mkuu
YupoUna kaka?
Ana kazi?
Nikimsaidia atakusaidia?
Niunganishe naye upate kazi!