Natafuta kazi ya usafi ofisini , nyumbani , kufua nguo nipo Kahama.

Bado, ila hicho siyo kikwazo kwangu cha kunizuia nisipige kazi kwani nipo vizr siugui ovyo...
Mtoto miezi 6, mimba miezi mingapi? Kazi za kufua ni nyingi sana nenda kwene mahostel ya vyuo hasa kwa wadada hawapendagi kufua utawafulia
 
Kweli kuna haja ya watu kufunzwa elimu ya maisha na mafanikio tuwe na mbadala nje ya elimu ya darasani,komaa tu usikate tamaa ukipata ka mtaji kidogo Fanya biashara ya kuangalia mahitaji ya watu kwenye eneo linalokuzunguka mfano watu wa eneo lako wanataka bidhaa zipi ukishafanya stadi nenda sehemu au dukani,sokoni,shambani,nk vinapopatikana vitu hivo utakuwa huna Pesa jidhamini Kwa mali kauli, au kopa MTU hela chache,au jidhamini Kwa Mjumbe,kisha chukua vitu au bidhaa hizo pelekea wausika ukipata Pesa rudisha ulipopewa bidhaa pia usipouza irudishe bidhaa jioni kabla hawajafunga ilipotoka.Kesho tena endelea hivo tena na tena usikate tamaa km ukiuza weka uaminifu na uvumilivu mbele huku ukitanua soko lako Kwa kuongeza wateja baada ya mda usipokata tamaa utajikuta unakuwa na mtaji Mkubwa tu wa kuweza kufanya makubwa, na hata usitamani kuajiriwa sababu ajira zenyewe mishahara ni kiduchu si zaid ya kuvaa,usafiri na kula na kuuza sura mjini wkt mda unaenda.weka degree pembeni vaa ujasiri ondoa aibu,ila usichoke kuomba application za kazi sababu waajiri huwa wanazitunza barua zenu siku iso na jina ukiwa umeshasahau unajikuta unaitwa ukaanze kazi.
 
Kweli kuna haja ya watu kufunzwa elimu ya maisha na mafanikio tuwe na mbadala nje ya elimu ya darasani,komaa tu usikate tamaa ukipata ka mtaji kidogo Fanya biashara ya kuangalia mahitaji ya watu kwenye eneo linalokuzunguka mfano watu wa eneo lako wanataka bidhaa zipi ukishafanya stadi nenda sehemu au dukani,sokoni,shambani,nk vinapopatikana vitu hivo utakuwa huna Pesa jidhamini Kwa mali kauli, au kopa MTU hela chache,au jidhamini Kwa Mjumbe,kisha chukua vitu au bidhaa hizo pelekea wausika ukipata Pesa rudisha ulipopewa bidhaa pia usipouza irudishe bidhaa jioni kabla hawajafunga ilipotoka.Kesho tena endelea hivo tena na tena usikate tamaa km ukiuza weka uaminifu na uvumilivu mbele huku ukitanua soko lako Kwa kuongeza wateja baada ya mda usipokata tamaa utajikuta unakuwa na mtaji Mkubwa tu wa kuweza kufanya makubwa, na hata usitamani kuajiriwa sababu ajira zenyewe mishahara ni kiduchu si zaid ya kuvaa,usafiri na kula na kuuza sura mjini wkt mda unaenda.weka degree pembeni vaa ujasiri ondoa aibu,ila usichoke kuomba application za kazi sababu waajiri huwa wanazitunza barua zenu siku iso na jina ukiwa umeshasahau unajikuta unaitwa ukaanze kazi.
Pia najishughulisha na biashara ya ice cream nina kijana wa kunizungushia , ila naona nizidi kujitafutia riziki huku na Kule... Ikitokea nikapata kazi nafanya pia sitoacha kujiajiri maana itaniwezesha zaidi kufanikiwa
 
Pia najishughulisha na biashara ya ice cream nina kijana wa kunizungushia , ila naona nizidi kujitafutia riziki huku na Kule... Ikitokea nikapata kazi nafanya pia sitoacha kujiajiri maana itaniwezesha zaidi kufanikiwa

Ukishaamua kujiajiri achana na elements za kutaka kuajiriwa tena. Huezi kua mjasiriamali at the same time umeajiriwa mahali.

Jiamini na weka malengo na siyo kutanga tanga
 
Ukishaamua kujiajiri achana na elements za kutaka kuajiriwa tena. Huezi kua mjasiriamali at the same time umeajiriwa mahali.

Jiamini na weka malengo na siyo kutanga tanga
Sawa na aksante kwa ushauri wako
 
Sina, ila naomba unisaidie kama inawezekana pia kazi yoyote ile halali naweza Fanya,
Umekosa Kazi

Ila usijali, Tafuta hata kaka wa kuazima

ah ah!



Binti kama wewe ukiwa na nguvu sasa hivi unaweza kufanya vingi vya halali bila hata kuja jf kujiweka kwenye destroyable state

Mtaji kidogo hata wa 10,000 unaweza kuzaa chochote kama subira inatumika
Fanya yote, ila usishawishike kuuza mwili wako.
Huo ndio wewe

Ukiuuza unakuwa umeuza nafsi, sio mwili.

Fanya biashara ndogo hata za mtaji wa 10,000
Subiri kwa busara biashara ikiyumba au kusimama

Muda hulipa,

10,000 inayoingiza 200 kwa siku NI SAWA NA 73,000 kwa mwaka!

Hapo utakuwa na uwezo wa biashara ya 80,000

Subira hulipa, Time is constant and relative

it pays

But by WISE and patience



Ila ukitaka kwenda kwa tamaa hasa kwa kujifananisha na marika zako
Utajikuta unatamani vitu ambayo kimsingi huvihitaji

Gari na nyumba ni mpaka uwe na kazi ya halali

Vinginenyo umerithi

Njia nyingine ya kuvipata ni mbaya kuliko kuvikosa

Lakini ni vitamu ukivipata bila madoa.


mimi huwa namshukuru Mungu kuniweka kwenye familia niliyo nayo
Lakini ndani kabisa huwa nayaona maisha yetu sote kama tukivua nguo wakati tunazikwa
TUNAFANANA

Kama ulizaliwa pazuri na hujui mateso ya njaa na dhiki,
Ni jukumu lako kujifunza kwa vitendo upande wa pili wa maisha. Wapo wengine kama sisi ambao hawakurithishwa vya baba au kubahatika kuvipata kwa halali na bado wanatafuta.

Tunafanana katika hali yoyote, Na zote ni stage na kila mmoja anaanzia 0 mpaka 100 bila kuathiri gravitational laws,

YOU CANT JUMP YOUR HEIGHT.

but you can pass through it!


Kala Jeremia === Usikate tamaa MUL


FakeGirl mie

ahah ahah!!
 
Kwa hiyo faida kwa mwaka huyo mtu hali, havai hana mahitaji?
Sometimes we have to be realistic kuliko kupeana moyo tu

Huko anakoishi sasa hali? Havai?

Au ndo nyie mnaanziaga 3 badala ya 1?

Hesabu hazidanganyi

so my formula is right

If we just compress human errors and mail it to the time server

IT PAYS!



Basi muoe kama unaona njia yangu ina .......

but everyone must begin with a 0

and sometimes -4 can be a perfect starting point!
 
Huko anakoishi sasa hali? Havai?
No wonder ndiyo maana kasema anauza ice cream lakini bado anatafuta kazi kwakuwa bado haja full fill her needs
Au ndo nyie mnaanziaga 3 badala ya 1?

Hesabu hazidanganyi

so my formula is right!
Formula yako haiwezi kuwa right if you dont consider kwamba lazima kuwe na expenses kwenye hiyo biashara.
Unaongea as if una assume anaish kwa wazazi au kwa mtu so hanunui chakula wala hana daily expenses!


Basi muoe kama unaona njia yangu ina ...
Hii inafuta ushauri wako wa mwanzo uliompa kwamba no matter what she encounters, asijiuze ila hapa bado deep down una element za fikra kwamba to some point a woman problems can be solved by giving herself to a man.
Kwako kuolewa ni kati ya njia ambazo mwanamke anaweza tatua matatizo yake ya kifedha.
but everyone must begin with a 0

and sometimes -4 can be a perfect starting point!
Sijakataa kuwa someone has to be begin somewhere lakini be realistic kwamba kuanza na 10,000 ukiweka 200 kama faida kwa mwaka uwe na 73,000 kama faida ujumlishe na 10,000 iwe 83,000 is unrealistic.
Hata kama ni hesabu kuna factors nyingi na kubwa umeziruka kiasi kwamba ume exceed margin of errors.
 
sawa ni bora kutafuta chochote kuliko kukaa bure but wadau wenye nia wawe tayari kukusaidia na ikitokea utapata taarifa ok dnt give up
 
No wonder ndiyo maana kasema anauza ice cream lakini bado anatafuta kazi kwakuwa bado haja full fill her needs

Formula yako haiwezi kuwa right if you dont consider kwamba lazima kuwe na expenses kwenye hiyo biashara.
Unaongea as if una assume anaish kwa wazazi au kwa mtu so hanunui chakula wala hana daily expenses!



Hii inafuta ushauri wako wa mwanzo uliompa kwamba no matter what she encounters, asijiuze ila hapa bado deep down una element za fikra kwamba to some point a woman problems can be solved by giving herself to a man.
Kwako kuolewa ni kati ya njia ambazo mwanamke anaweza tatua matatizo yake ya kifedha.

Sijakataa kuwa someone has to be begin somewhere lakini be realistic kwamba kuanza na 10,000 ukiweka 200 kama faida kwa mwaka uwe na 73,000 kama faida ujumlishe na 10,000 iwe 83,000 is unrealistic.
Hata kama ni hesabu kuna factors nyingi na kubwa umeziruka kiasi kwamba ume exceed margin of errors.


wewe hujanijibu

wewe umenipania

mwenye shida achukue vya msingi anavyoviona kwenye post yangu

otherwise MAISHA HAYANA VERIFIED FORMULA
 
Back
Top Bottom