Natafuta kazi ya upishi, niko Dodoma

Naomba msaada, mimi ni mpishi wa vyakula vyoote vya Kiswahil na bites mbalimbali na vya kizungu baadhi kama Pizza, burger, beef sizzla nk

Namba yang ni 0692111145
Kama una ujuzi wa hivyo vitu ni bora ukapika ukawa watembeza mtaani hasa maeneo ya wana vyuo huko, ajira siku hizi shida brother
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom