kaxno
Senior Member
- Sep 11, 2012
- 133
- 109
Habari zenu wana jamvi,
Kama kichwa cha habar cha bandiko hili kinavyoeleza. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ni mhitimu wa shahada ya kwaza ya uhasibu na nina uzoefu wa miaka 5 kwenye fani ya uhasibu na kutunza store(inventory management). Naomba msaada wa kupata kazi mkoa wowote iwe ya parmanent au ya contract. Nawasilisha
Kama kichwa cha habar cha bandiko hili kinavyoeleza. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ni mhitimu wa shahada ya kwaza ya uhasibu na nina uzoefu wa miaka 5 kwenye fani ya uhasibu na kutunza store(inventory management). Naomba msaada wa kupata kazi mkoa wowote iwe ya parmanent au ya contract. Nawasilisha