Makbel
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 774
- 165
Mimi ni fundi umeme niliyehitimu mafunzo ya ufundi umeme tokea mwaka 2006. Nina uzoefu wa kufanya kazi ya Wiring kwenye majengo, kutrace Fault, kufunga Contactor katika control circuit. Na kazi zote zinazohusu umeme wa majumbani au viwandani. Kwa sasa natafuta kazi ya ufundi umeme kwenye mashirika, makampuni yanayoshughulika na minara ya simu,ujenzi wa nyumba au Macontractor waliojiajiri katika usimamizi na ujenzi wa majumba. Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kwa namba hizi: 0787577755, 0767577755 na 0717577755. Email: mac.triple7@gmail.com