aisee, hawa jamaa wana kozi ya automation kumbe ?automation
uko vizuri kwenye Ladder Logic ?,maswala ya PLC
yah mkuu but sio sana ila najua ladder diagram kuzisoma vizuri tu kama kuna sehemu naweza pata kazi kwa kujitolea ili nipate experience vizuri nipo teyari mkuu ila kwa mkoa huu wa dar es salaam tu mkuuuko vizuri kwenye Ladder Logic ?
yah mkuu but sio sana ila najua ladder diagram kuzisoma vizuri tu kama kuna sehemu naweza pata kazi kwa kujitolea ili nipate experience vizuri nipo teyari mkuu ila kwa mkoa huu wa dar es salaam tu mkuu
Automation...!? Ulipiga wapi hii course mzee...
Course safi sana hii, ila ninachosikia Tz hawatoi automation yenyewe kabisa, yani ni kama introduction tu...
Automation...!? Ulipiga wapi hii course mzee...
mkuu hii coz ni vipengere vichache tu mkuu kama sio kuzama ndani ndani mnapigwa msasa juu juu tu mkuu kama tungekua tunapigishwa nondo ndani ndani aisee bongo tunge kuwa mbali kwenye. kutengeneza maroboti
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Hudu ma ya kutafutiwa kazi ni Tsh 10 000 tu. 0769 524 022.Umri wangu ni miaka 26 Nina level three ya electrical and automation natafuta kazi ya ufundi umeme wa majumbani au maofisini,,viwandani nk niko Dar es salaam ilala nina uzoefu wa kutosha.
mawasiliano 0712046672
We boya umekula BANN nini😀😀😀 na ule utapeli wako.Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Hudu ma ya kutafutiwa kazi ni Tsh 10 000 tu. 0769 524 022.