Natafuta kazi ya udereva, hasa Uber na Bolt

Askofug

New Member
Jul 26, 2021
1
0
Ninaitwa Eliah Gwamaka. elimu yangu ni diploma ya IT. Pia nina leseni yenye madaraja C1, C2, C3, E na D.nina uzoefu wa kufanya Bolt kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Napendelea mkataba hata kama gari sio mpya.

Napatikana ukonga Banana Dar es Salaam.

Namba yangu ya simu ni 0686 574164.

Natanguliza shukrani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom