Natafuta kazi ya udeleva

Mguu wa paja

Member
Apr 26, 2017
40
9
IMG-20180409-WA0124.jpeg
 
Mhurumieni jamani ulimi hauna mfupa

Humu kuna Watu kabla ya kufanya jambo lolote huwa Kwanza tunasoma sentensi nukta hadi nukta ili tujiridhishe nayo hivyo kama umevapa / umekosea hatuwezi kukuacha upite tu hivi hivi lazima ' tutakuchekecha ' kidogo ili siku nyingine ukija uwe makini.
 
Abacho ni kulazimisha "L" ikae kwenye nafasi ya "R"

' Abacho ' ni Kiswahili au Kimalawi Mkuu? Yaani unamcheka mwenzako Kuanguka mtaroni Wewe sasa ndiyo umetumbukia kabisa katika Choo kilichojaa ' Nnya ' mpaka pomoni / juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom