Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Ninatafuta shule ya kufundisha masomo ya physics, na chemisty katika shule yoyote iliyoko DSM au Mbeya jiji, kwa sasa ni muajiriwa serikalini ila nahitaji kuondoka huku kwasababu binafsi, kuna organisation kama teachers junction masharti yao ni magumu sana.
Kwa yeyote wa kuweza kunisaidia kwahiyo naomba niPM
Kwa yeyote wa kuweza kunisaidia kwahiyo naomba niPM