Natafuta kazi ya ualimu kwa masomo ya physics na mathematics

Shikamoni wakubwa!

Naitwa Naftari Mworoha, natafuta nafasi ya ualimu kwa masomo ya physics na mathematics!
Nina degree ya sayansi na ualimu!
Nisaidieni ndugu zanguni!
Namba yangu ni 0765313305
Tembelea shule za private utapata tu mkuu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom