simba wa dodoma
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 925
- 1,010
habari ndugu zangu mimi nimeajiriwa kampuni flani hivi sasa muda mwingi nashinda home kutoka kule napofanya hua nafanya muda mchache so muda mwingj nakua home
mwenye kazi ambayo anaweza kunifundisha nikamsaidia or tukasaidiana swala malipo sitaki kukuumiza mimi anisaidie nauli tu ya daladala kwenda na kurudi na chakula ambapo siku nitakapokuja kazi yoyote najiamni mm mwepesi kujua vitu or kushika vitu mapema
iwe kwa hapa tu dsm ningependa zaidi isiwe njee ya wilaya ya kinondoni
sitaki sehemu mbali kama kigamboni, mbagala tandika or gongo la mboto
swala muda wangu nishajipanga teyali nachohitaji ni kujifunza vitu vingi swala la malipo itategemea
naomba uni PM
mwenye kazi ambayo anaweza kunifundisha nikamsaidia or tukasaidiana swala malipo sitaki kukuumiza mimi anisaidie nauli tu ya daladala kwenda na kurudi na chakula ambapo siku nitakapokuja kazi yoyote najiamni mm mwepesi kujua vitu or kushika vitu mapema
iwe kwa hapa tu dsm ningependa zaidi isiwe njee ya wilaya ya kinondoni
sitaki sehemu mbali kama kigamboni, mbagala tandika or gongo la mboto
swala muda wangu nishajipanga teyali nachohitaji ni kujifunza vitu vingi swala la malipo itategemea
naomba uni PM