ambivert
Member
- Jan 20, 2020
- 6
- 2
Hi, Mimi ni msichana (23), nina elimu ya kidato cha nne, pia nimesomea Computer Applications Course, nina ujuzi wa kutumia (Ms.Office Package) vizuri.
Natafuta kazi ya Office Attendant/ Stationery/Secretary/ Receptionist, na zingine kulingana na fani yangu.
•Nina uzoefu wa miaka (3) katika kazi ya Stationery Attendant.
This is very serious, Kwa mwenye uhitaji/ maelezo zaidi please niPM
Natafuta kazi ya Office Attendant/ Stationery/Secretary/ Receptionist, na zingine kulingana na fani yangu.
•Nina uzoefu wa miaka (3) katika kazi ya Stationery Attendant.
This is very serious, Kwa mwenye uhitaji/ maelezo zaidi please niPM