Brother Jof
Senior Member
- Nov 5, 2018
- 105
- 134
Habari wakuu,
Naomba msaada kwa atakaenisaidia kupata kazi upande wa mauzo na masoko(Sales and Marketing) kampuni yoyote Dar es Salaam.
Mimi ni muajiliwa wa kampuni fulani ila kituo changu cha kazi ni mkoani ,Inanichukua siku mbili kufika Dar ambako kuna familia yangu.
Msaada ninaoomba sio kuitwa kufanya kazi kirahisi bali kuitwa katika usali(najiamini katika hili) then nikipata kazi nitampatie hiyo 400k
Note; Sitoi kama hongo bali shukrani kwa kunifanikishia kuitwa katika usaili kwasababu nimekua nikijarib sana kuomba kazi na nimefanya interview nyingi lakn naona sehem kubwa kulikua na upendeleo wa kujuana hivyo sikufanikiwa kupita.
Kiwango cha elimu ni Degree, Uzoefu miaka 6
ASANTENI NDUGU ZANGU
Naomba msaada kwa atakaenisaidia kupata kazi upande wa mauzo na masoko(Sales and Marketing) kampuni yoyote Dar es Salaam.
Mimi ni muajiliwa wa kampuni fulani ila kituo changu cha kazi ni mkoani ,Inanichukua siku mbili kufika Dar ambako kuna familia yangu.
Msaada ninaoomba sio kuitwa kufanya kazi kirahisi bali kuitwa katika usali(najiamini katika hili) then nikipata kazi nitampatie hiyo 400k
Note; Sitoi kama hongo bali shukrani kwa kunifanikishia kuitwa katika usaili kwasababu nimekua nikijarib sana kuomba kazi na nimefanya interview nyingi lakn naona sehem kubwa kulikua na upendeleo wa kujuana hivyo sikufanikiwa kupita.
Kiwango cha elimu ni Degree, Uzoefu miaka 6
ASANTENI NDUGU ZANGU