Chusen Francis
New Member
- Feb 2, 2020
- 4
- 2
Jamani ndugu zangu, kwa majina naitwa Chusen Francis natokea mkoa wa Mwanza, nina miaka 22.
Nimehitimu kidato cha sita mwaka jana 2019, nilipata ufaulu mzuri wa kuniwezesha kujiunga na chuo kikuu but sikufanikiwa kwenda chuo kwa sababu shule nadaiwa baadhi ya michango iliyonifanya nisiende chuo kwa sababu shule sikupewa result slip wala cheti.
Hivyo basi, nipo serious na makini kutafuta kazi hii ya kuwa houseboy, mlinzi was getini au kuuza dukani ili kama Mungu akisaidia ni nipate kiasi fulani cha pesa niweze kujiunga na chuo mwaka huu japo na imani kupitia nyie ndugu na jamaa naweza kutimiza malengo yangu.
Asanteni sana.
Nina viambatanisho vifuatavyo:
- Cheti cha form 4
- Cheti cha kuzaliwa
- Kitambulisho cha Taifa
kwa mawasaliano zaid nambar ya simu 0763771904
Nimehitimu kidato cha sita mwaka jana 2019, nilipata ufaulu mzuri wa kuniwezesha kujiunga na chuo kikuu but sikufanikiwa kwenda chuo kwa sababu shule nadaiwa baadhi ya michango iliyonifanya nisiende chuo kwa sababu shule sikupewa result slip wala cheti.
Hivyo basi, nipo serious na makini kutafuta kazi hii ya kuwa houseboy, mlinzi was getini au kuuza dukani ili kama Mungu akisaidia ni nipate kiasi fulani cha pesa niweze kujiunga na chuo mwaka huu japo na imani kupitia nyie ndugu na jamaa naweza kutimiza malengo yangu.
Asanteni sana.
Nina viambatanisho vifuatavyo:
- Cheti cha form 4
- Cheti cha kuzaliwa
- Kitambulisho cha Taifa
kwa mawasaliano zaid nambar ya simu 0763771904