Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 560
- 838
Habari zenu wakuu,
Najua hapa ndani hapawezi kukosa wamiliki ,maengineer wa makampuni,viwanda, na mashirika mbali mbali mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 26 naishi dar es salaam
Naombeni kazi ya kujitolea tu bila malipo yoyote nitafanya kazi bure, sihitaji posho ya aina yeyote kama usafiri Na chakula nitajitegemea ,
Nimekaa mtaani Kwa muda sasa nahitaji kuendeleza ujuzi wangunikikaa sana mtaani bila kazi nitasahau vitu vingi nilivyojifunza, kama maswala ya p.l.c ,na mambo mengi ya automation. Elimu nina level three ya electrical and automation
Najua hapa ndani hapawezi kukosa wamiliki ,maengineer wa makampuni,viwanda, na mashirika mbali mbali mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 26 naishi dar es salaam
Naombeni kazi ya kujitolea tu bila malipo yoyote nitafanya kazi bure, sihitaji posho ya aina yeyote kama usafiri Na chakula nitajitegemea ,
Nimekaa mtaani Kwa muda sasa nahitaji kuendeleza ujuzi wangunikikaa sana mtaani bila kazi nitasahau vitu vingi nilivyojifunza, kama maswala ya p.l.c ,na mambo mengi ya automation. Elimu nina level three ya electrical and automation