Mussa_hassan
Member
- Oct 6, 2017
- 51
- 41
.
Kwa upande wa elim nina bachelor ya science with education (chemistry biology).Una elimu gani? Ni pm mkuu
Kweli umekosa kazi ualimu? Wakati walimu wa science kama wewe ndio mnahitajikaKwa upande wa elim nina bachelor ya science with education (chemistry biology).
InakuhusuKweli umekosa kazi ualimu? Wakati walimu wa science kama wewe ndio mnahitajika
Habarini za saiz wana jamii.
Mimi ni kijana mtanzania naishi mwanza nina ujuzi wa kutengeneza website na android application pia nina ujuzi wa kudesign kwa kutumia photoshop(kawaida),
Wasiliana nasi kupitia excellenttrainingcentre20@gmail.com
Natafuta kampuni au organization yoyote nifanye kwa kujitolea ili ni iongeze skills kwenye kipaji changu hiki.
Najua kuna makampuni au taasisi hapa kwetu wana organization nzuri na wako mbali na wanafanya hizi kazi.