bea alonzo
Member
- Dec 15, 2016
- 96
- 28
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 27 nimemaliza chuo kikuu nina degree ya uchumi (bachelor of economics) pamajo na nina stashahada ya juu ya elimu (post graduate diploma education teaching subject ni mathematics,economics, pamoja Na commerce) naweza kufundisha masomo ya hesabu,economics, commerce. Nipo tayar kufanya kaz sehemu yoyote. Mm nipo mbeya
Mawasiliano yangu ni 0712171827
Mawasiliano yangu ni 0712171827