Princee
New Member
- Nov 16, 2017
- 2
- 0
Habari wana Jf, mimi ni kijana wa miaka 19 nimemaliza kidato cha 4 mwaka huu. Dhumuni la kuandika ujumbe huu ni kwamba natafuta kazi ya kufanya wakati nasubiri matokeo hivyo naomba msaada wenu ndugu. Napatikana mkoa wa Mwanza pia nina uwezo wa kutumia computer na book keeping.