Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,626
- 1,676
Mi naweza kukulipa huo mshahara ila kutunza bustani kutembeza biashara ndogo na baiskeli kama uoo tayari njoo pm nipo mara pia
Kufagia uwanja pia ni ujuzi?Kufua, kupika na kufagia uwanja
NdioKufagia uwanja pia ni ujuzi?
Ningepata ya kutulia ingekuwa safi sana
Sina Wazazi mzee nina ndugu nao pia wapo mkoa1. Baba yako mzazi anajishughulisha na nini? Nenda kamsaidie shughuli zake kwa juma moja.
2. Matamanio yako inavyoonekana ni kazi za kutotangamana na watu wengi (ofisini), au za kufanyia tokea nyumbani. Sivyo? Angalia shughuli anayofanya baba yako halafu uone namna ya kuiasili nawe uifanye.
Pole.Sina Wazazi mzee nina ndugu nao pia wapo mkoa
Kuna kazi maeneo ya mgodi wa North Mara Nyamongo wanajenga barabara.1. 60,000
2 Mara
3. ME
4 18-30
nipe ramani mkuu nije fasta tupige kaziKuna kazi maeneo ya mgodi wa North Mara Nyamongo wanajenga barabara.
Inaanza next week
Mshahara ni elfu 11 per day
Usingrkuwa na matatizo na vitu vizito ungekuja upambane na vibarua
Mgodi wa North Mara upo Nyamongo (Tarime Vijijini)nipe ramani mkuu nije fasta tupige kazi
mkuu na ww upo huko auMgodi wa North Mara upo Nyamongo (Tarime Vijijini)
Kuna Ujenzi wa Barabara chini ya Kampuni ya Nyanza Road
Watahitaji vibarua wiki hii kwa ajili ya hio kazi.
Jilipue tu uje. Huku ukibahatika hata kwenye migodi midogo walinzi wanalipwa laki 4+
Nipo kijijini hapa Borenga, Ngorememkuu na ww upo huko au
Hivyo vyote ninavyo ila shida sipo kwenye hiyo mikoa tajwa hapo juu, nipo Marakama unaweza kupata cheti cha darasa la 7 na kitambulisho cha nida...pamoja na cheti cha kuzaliwa...huku ukiwa na wadhamini wawili wawe mwanza au dar es salaam...jaribu kwenye kampuni ya ulinzi GARDA unaweza kupata mshahala kuanzia 250k...lakini ni lazima uwe mrefu pamoja na miaka kuanzi 24
Hivyo vyote ninavyo ila shida sipo kwenye hiyo mikoa tajwa hapo juu, nipo Marakama unaweza kupata cheti cha darasa la 7 na kitambulisho cha nida...pamoja na cheti cha kuzaliwa...huku ukiwa na wadhamini wawili wawe mwanza au dar es salaam...jaribu kwenye kampuni ya ulinzi GARDA unaweza kupata mshahala kuanzia 250k...lakini ni lazima uwe mrefu pamoja na miaka kuanzi 24
inamaana hauna ndugu mwanza kabisa...?Hivyo vyote ninavyo ila shida sipo kwenye hiyo mikoa tajwa hapo juu, nipo Mara