Habari Wana jf,
Mimi ni binti wa miaka 23, Nina elimu ya form four natafuta kazi ya kuniingizia kipato mfano kuuza Duka, kufanya usafi maofisini na nyinginezo
Nina uzoefu wa kuuza Duka ambapo nimewahi uza Duka la nguo za ndani huko kariakoo, ni binti mchangamfu na najua kukaribisha wateja.
Naomba Mwenye anaeza nisaidia kazi please au hata wazo.
Asante
Mimi ni binti wa miaka 23, Nina elimu ya form four natafuta kazi ya kuniingizia kipato mfano kuuza Duka, kufanya usafi maofisini na nyinginezo
Nina uzoefu wa kuuza Duka ambapo nimewahi uza Duka la nguo za ndani huko kariakoo, ni binti mchangamfu na najua kukaribisha wateja.
Naomba Mwenye anaeza nisaidia kazi please au hata wazo.
Asante