zigi 01
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 294
- 153
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una nursing unakosa kazi basi hakuna kitu ungesoma ukaajiliwa frankly speaking.
Inamaana unaishi wapi ambako hakuna private hospitals na zahanati au maduka ya dawa za binadamu?????
Maduka ya dawa na nurse wapi na wapi?Kama una nursing unakosa kazi basi hakuna kitu ungesoma ukaajiliwa frankly speaking.
Inamaana unaishi wapi ambako hakuna private hospitals na zahanati au maduka ya dawa za binadamu?????
Peleka maombi east africa community. Wametoa nafasi za nursingMimi ni kijana nimemaliza mafunzo ya internship na nimeshasajiliwa na (TNMC)
so nina valid license!!
kazi iwe ya kufanya wodini, clinic au kufundisha.
Contact: 0716586655,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nurse hasomi pharmacology kweli??
Avriel njoo hapa.
Kama una nursing unakosa kazi basi hakuna kitu ungesoma ukaajiliwa frankly speaking.
Inamaana unaishi wapi ambako hakuna private hospitals na zahanati au maduka ya dawa za binadamu?????