Simba Mwenda Pole
Member
- Mar 6, 2019
- 87
- 78
Mimi Ni kijana wa kiume, umri wa miaka 26, natafuta kazi Nina shahada ya petroleum chemistry.
Ahsanteni sana
Ahsanteni sana
Mmh Kuna degree zingine nimpya kweli kweli duh sasa katika nchi yetu haina mafuta petroleum chemistry wapi na wapi....utapata ila uwe nasubiraMimi Ni kijana wa kiume, umri wa miaka 26, natafuta kazi Nina shahada ya petroleum chemistry.
Ahsanteni sana
Kazi yoyote ile,
Kazi yoyote ile,
Daaaah! Bonge ya Course kaka!. Hyo ndo course ya kiume! Utapata kazi brO. Jaribu kutembelea kwenye viwanda kwa sana'aaMimi Ni kijana wa kiume, umri wa miaka 26, natafuta kazi Nina shahada ya petroleum chemistry.
Ahsanteni sana
Kama kazi ipo, niunganishe ndugu yanguHawa ndio walikuwa wanajiona miungu watu kipind wanasoma hyo kozi na kujihis wao ni the chosen one, huku wakiwacheka wanaosoma kozi nyingine za social science.
Ila mtaa ndio mwalimu mwenyewe, wenzako wote walisoma hyo kozi baada ya kuona kazi haina wameingia kwenye ujasiriamal wa ujanja ujanja sijui forex, network marketing
Nipo Dar es Salaam
Nenda TOTAL na PUMA na likewise mkuu utatoboa tu.Nipo Dar es Salaam
Tofauti ya Petroleum Chemistry na Petroleum engineering degree ni nini?Nipo Dar es Salaam
Mimi Ni kijana wa kiume, umri wa miaka 26, natafuta kazi Nina shahada ya petroleum chemistry.
Ahsanteni sana
Hawa ndio walikuwa wanajiona miungu watu kipind wanasoma hyo kozi na kujihis wao ni the chosen one, huku wakiwacheka wanaosoma kozi nyingine za social science.
Ila mtaa ndio mwalimu mwenyewe, wenzako wote walisoma hyo kozi baada ya kuona kazi haina wameingia kwenye ujasiriamal wa ujanja ujanja sijui forex, network marketing
Lakini si gesi ipo chini ya ardhi,one day YesItabidi Prof Muhongo mmpeleke mahakamani. Aliwadanganya sana kuhusu uchumi wa gesi. Hata mimi pia nilitamani kwenye kusomea gesi na mafuta katika uzee huu wangu... Tanzania kuna vioja sana. Hakuna mtu anaongelea uchumi wa gesi tena!
Mimi Ni kijana wa kiume, umri wa miaka 26, natafuta kazi Nina shahada ya petroleum chemistry.
Ahsanteni sana
Hivi hii imekaaje kisheria? Kama mtu aliwadanganya huwezimpeleka mahakamaniItabidi Prof Muhongo mmpeleke mahakamani. Aliwadanganya sana kuhusu uchumi wa gesi. Hata mimi pia nilitamani kwenye kusomea gesi na mafuta katika uzee huu wangu... Tanzania kuna vioja sana. Hakuna mtu anaongelea uchumi wa gesi tena!