REDA Electrical
Member
- Jul 4, 2021
- 13
- 11
Habari zenu,
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 24.
Ninatafuta kazi yeyote ya kujikimu kimaisha kwa sababu ndio kwanza ninayaanza maisha.
Fani yangu ni ufundi umeme na nimefanikiwa kusoma veta mpaka level 2 ya umeme.
Ila ikipatikana tofauti na hiyo ninafanya.
Nipo Dar kwa sasa
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 24.
Ninatafuta kazi yeyote ya kujikimu kimaisha kwa sababu ndio kwanza ninayaanza maisha.
Fani yangu ni ufundi umeme na nimefanikiwa kusoma veta mpaka level 2 ya umeme.
Ila ikipatikana tofauti na hiyo ninafanya.
Nipo Dar kwa sasa