Mama Luq
Member
- Feb 8, 2021
- 20
- 13
Habari zenu ?
Matumaini yangu nyote ni wazima wa afya mimi ni kijana wa kiume wa miaka 25,elimu yangu ni kidato cha sita nina uwezo wa kutumia computer vizuri sana na nishafanya kazi za research kama research assistance na mashirika kama MDH na NACP.
Nipo hapa wakuu kuomba msaada wa kazi yoyote halali sichagui nilwamue ata familia yangu kupata angalau chakula naishi kimara kama kuna connection yoyote au kuna kazi yoyote nitashukuru natanguliza shukrani
Matumaini yangu nyote ni wazima wa afya mimi ni kijana wa kiume wa miaka 25,elimu yangu ni kidato cha sita nina uwezo wa kutumia computer vizuri sana na nishafanya kazi za research kama research assistance na mashirika kama MDH na NACP.
Nipo hapa wakuu kuomba msaada wa kazi yoyote halali sichagui nilwamue ata familia yangu kupata angalau chakula naishi kimara kama kuna connection yoyote au kuna kazi yoyote nitashukuru natanguliza shukrani