branish
New Member
- Nov 16, 2021
- 2
- 2
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nina elimu ya kidato cha nne
Muda sasa nipo nyumbani tu natafuta kazi yoyote hilio halili ili niweze kujikizi kimaisha
Ata ikiwa kiwandani au sehemu nyingine naomba alie na connection za kazi anisaidie au anaejua sehemu kama kuna kazi
Muda sasa nipo nyumbani tu natafuta kazi yoyote hilio halili ili niweze kujikizi kimaisha
Ata ikiwa kiwandani au sehemu nyingine naomba alie na connection za kazi anisaidie au anaejua sehemu kama kuna kazi