miriam 111
Senior Member
- Aug 25, 2018
- 100
- 77
Jamani naomba kwa wenye wanajua wapi naweza kupata connection ya kazi.
Tusaidiane ndugu zangu
Mimi ni binti miaka 24
Napatikana tabata DSM
Elimu kidato cha 4
Pia nimesoma computer basic applications na niko vizuri kwenye Ms Word, Ms Excel ,PowerPoint, Publisher na hata matumizi ya internet.
Nmefanya kazi kama wakala wa Equity Bank pamoja na Nmb Bank
Pia nimefanya kama secretary
Pia nina uwezo wa kupika chakula vizuri, bites na kutengeneza juice nzuri za matunda na Ukwaju
Hata wenye connection za viwandani pia nipo tayari
Ahsanteni.
Tusaidiane ndugu zangu
Mimi ni binti miaka 24
Napatikana tabata DSM
Elimu kidato cha 4
Pia nimesoma computer basic applications na niko vizuri kwenye Ms Word, Ms Excel ,PowerPoint, Publisher na hata matumizi ya internet.
Nmefanya kazi kama wakala wa Equity Bank pamoja na Nmb Bank
Pia nimefanya kama secretary
Pia nina uwezo wa kupika chakula vizuri, bites na kutengeneza juice nzuri za matunda na Ukwaju
Hata wenye connection za viwandani pia nipo tayari
Ahsanteni.