RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 1,661
- 4,565
Soo hadi mda huu kuna mafanikio yeyote?Wengine n matapeli ndugu yangu
Soo hadi mda huu kuna mafanikio yeyote?Wengine n matapeli ndugu yangu
Kweli ķabisa ndugu yangu nimepost suala hilohilo la kaz inafika wiki na zaid nina coment za watu wawil tuNdg ,,,,miriam ntaomba mrejesho kwa hawa member if kwel wote wana nia ya kutoa ajira kwako au connection maaana kjn wa kiume akipost ze same need pipo zna nyaraaa
Kuuza buchani unaweza?
Kweli ķabisa ndugu yangu nimepost suala hilohilo la kaz inafika wiki na zaid nina coment za watu wawil tu
Nimeipenda hii,boss gan anatumia JF kwenye free basicsUkiachana na wanasiasa hakuna wanafki kama baadhi ya members humu. Wanajinasibu kuwa ni bosses haliyakuwa wanatumia freebasics.
Mtaji wa million kwa uzoefu wako wa upishi na stationery unafanya kitu gani?Jamani naomba kwa wenye wanajua wapi naweza kupata connection ya kazi.
Tusaidiane ndugu zangu
Mimi ni binti miaka 24
Napatikana tabata DSM
Elimu kidato cha 4
Pia nimesoma computer basic applications na niko vizuri kwenye Ms Word, Ms Excel ,PowerPoint, Publisher na hata matumizi ya internet.
Nmefanya kazi kama wakala wa Equity Bank pamoja na Nmb Bank
Pia nimefanya kama secretary
Pia nina uwezo wa kupika chakula vizuri, bites na kutengeneza juice nzuri za matunda na Ukwaju
Hata wenye connection za viwandani pia nipo tayari
Ahsanteni.
Una uzoefu?Mimi naweza. Nipe pande hilo mkuu
Idea ni nyingi mkuu.Mtaji wa million kwa uzoefu wako wa upishi na stationery unafanya kitu gani?
Weka mawasiliano yakoJamani naomba kwa wenye wanajua wapi naweza kupata connection ya kazi.
Tusaidiane ndugu zangu
Mimi ni binti miaka 24
Napatikana tabata DSM
Elimu kidato cha 4
Pia nimesoma computer basic applications na niko vizuri kwenye Ms Word, Ms Excel ,PowerPoint, Publisher na hata matumizi ya internet.
Nmefanya kazi kama wakala wa Equity Bank pamoja na Nmb Bank
Pia nimefanya kama secretary
Pia nina uwezo wa kupika chakula vizuri, bites na kutengeneza juice nzuri za matunda na Ukwaju
Hata wenye connection za viwandani pia nipo tayari
Ahsanteni.
Jamani naomba kwa wenye wanajua wapi naweza kupata connection ya kazi.
Tusaidiane ndugu zangu
Mimi ni binti miaka 24
Napatikana tabata DSM
Elimu kidato cha 4
Pia nimesoma computer basic applications na niko vizuri kwenye Ms Word, Ms Excel ,PowerPoint, Publisher na hata matumizi ya internet.
Nmefanya kazi kama wakala wa Equity Bank pamoja na Nmb Bank
Pia nimefanya kama secretary
Pia nina uwezo wa kupika chakula vizuri, bites na kutengeneza juice nzuri za matunda na Ukwaju
Hata wenye connection za viwandani pia nipo tayari
Ahsanteni.
Pm please, hapa wengi si wastaarabuWeka mawasiliano yako