Tatizo nini mbona nyie mnatakiwa sana kuanzia mwaka jana udsm wameajiri librarian wengi sana,vyuo vingi vimeajiri,bado utumishi kila ukichao zinatangazwa.Habari. Natafuta kazi nina diploma ya library and records nimemaliza SLADS- Bagamoyo nina uzoefu wa mwaka 1, naomba unisaidie kama kunasehemu unapajua au utatasikia.
Bahat mbaya zilimpita mkuuTatizo nini mbona nyie mnatakiwa sana kuanzia mwaka jana udsm wameajiri librarian wengi sana,vyuo vingi vimeajiri,bado utumishi kila ukichao zinatangazwa.
Dah hapo tatizo ila hii fani deal sana kwa sasa Tz kushinda hata Ualimu wa Science ajaribu hata kwenye mashule private ajaribu wanahitajika sana na Government pia awe tu updated atapata japo ajira ngumu ila mwanga upo.Bahat mbaya zilimpita mkuu
silent_ocean
Dah hapo tatizo ila hii fani deal sana kwa sasa Tz kushinda hata Ualimu wa Science ajaribu hata kwenye mashule private ajaribu wanahitajika sana na Government pia awe tu updated atapata japo ajira ngumu ila mwanga upo.
😂😂😂😂Kazi hizi zinawafaa mabinti warembo. Sio unakuta dume eti nalo Librarian
Peleka CV katika vyuo vikuu, si vya Tanzania tu hata vya nchi jirani.
Kuna nafasi nimeiona kule utumishi lakini mwisho wa kutuma maombi ilikuwa jana na mwajiri alikuwa ni Msd,Ila kuwa na subira serikalini kwa fani yako fursa unayo kubwa sanaHabari. Natafuta kazi nina diploma ya library and records nimemaliza SLADS- Bagamoyo nina uzoefu wa mwaka 1, naomba unisaidie kama kunasehemu unapajua au utatasikia.