gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 703
- 707
Habari wakuu,kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu nimemaliza chuo so natafuta kazi as a Civil Technician or other non related jobs nikiwa na maana hata kazi nyinginezo zisizohusiana na professional yangu.mwenye kufahamu sehemu ambapo naweza kupata kazi kwa maana ya connection au kuna tangazo la kazi umeliona sehemu linata mtu was kada yangu unaweza kulipost.Naomba kuwasilisha tangazo hili kwenu kwa heshima na taadhima,asanteni sana.
"It's not over until it's over"
"Hasta la mania el victory=Fight until victory comes"
"It's not over until it's over"
"Hasta la mania el victory=Fight until victory comes"