Natafuta kazi nina degree ya Ualimu masomo ya Physics na Chemistry

tayari kiongozi unaweza kuangalia hapo
Mwalimu.,..sa ivi ndio umeandika aisee mtu anapata full information humu jamii forms Kuna watu wapo Idara ya Elimu ngazi ya Taifa "trust I tell you" ngoja waje mi naiman lazm Utapata connection tyu.
Mkuu" ..
 
Lakn pia Kama upo Jijin mwanza apo Thaqaffa huwa wanatafta walimu wa physics and chemistry kwa sana yan Amna walimu wa science apo nakushauri andika Barua afu nenda nayo physically:"
Sawa nitafanya hivyo nilisoma hapo form 3 na 4 walimu wengi pale hawana professional hiyo ya ualimu wengi ni ma engineer na wahasibu nitaenda kujaribu hopeful nitapata.
 
Habarini wakuu, natafuta kazi ya ualimu masomo ya physics na chemistry nimegraduate mwaka huu nipo mwanza, lakini naweza kufika sehemu yoyote Tanzania. Kwa atakenisaidia kupata sehemu ya kujishikiza siwezi kumuacha patupu.

Advance nilisoma PCB na nilipata division 2 point 12...

GPA ya Chuo kikuu bado hatujapata overall maana nilisoma option course nyingi kwa both physics na chemistry lakini inafika 3. Something huko.

Kitaaluma na kimaadili niko vizuri pia kimalezi ya watoto nina Cheti cha child care protection.

Niko tayari kufanya kazi bure kwa mda ili kupima content yangu maana najiamini sana katika hiyo idara endapo nisipokidhi mahitaji unaweza niondoa pia.
Kwa maelezo zaidi unaweza ni DM.

Napatikana kwenye hizi namba.

0757590836 na 0687690268.

ASANTENI
Tafuta shule ya jaffery academy ya Arusha ya wahindi watakuchukua ba wanalipa vizuri. Tembelea www.mabumbe.com ,teaching posts utakuta contacts zao, we omba hata kama muda umeshaisha
 
Habarini wakuu, natafuta kazi ya ualimu masomo ya physics na chemistry nimegraduate mwaka huu nipo mwanza, lakini naweza kufika sehemu yoyote Tanzania. Kwa atakenisaidia kupata sehemu ya kujishikiza siwezi kumuacha patupu.

Advance nilisoma PCB na nilipata division 2 point 12...

GPA ya Chuo kikuu bado hatujapata overall maana nilisoma option course nyingi kwa both physics na chemistry lakini inafika 3. Something huko.

Kitaaluma na kimaadili niko vizuri pia kimalezi ya watoto nina Cheti cha child care protection.

Niko tayari kufanya kazi bure kwa mda ili kupima content yangu maana najiamini sana katika hiyo idara endapo nisipokidhi mahitaji unaweza niondoa pia.
Kwa maelezo zaidi unaweza ni DM.

Napatikana kwenye hizi namba.

0757590836 na 0687690268.

ASANTENI
cc: Rais wa Jamuhuri Ya Muungano - Tanzania (Ndg. John Pombe Joseph Magufuli).
 
Back
Top Bottom