Mzee Mambo
Member
- Jun 21, 2021
- 29
- 18
Habari Za MAJUKUMU wanaJF,
Naombeni msaada kwa mwenye connection ya kazi kwenye makampuni ya MABASI ya mikoani au Mwendokasi (kondakta/Mkata ticket ofisini au Agent).
Elimu yangu KIDATO CHA SITA.
Nipo Dar es Salaam.
Asanteni
Naombeni msaada kwa mwenye connection ya kazi kwenye makampuni ya MABASI ya mikoani au Mwendokasi (kondakta/Mkata ticket ofisini au Agent).
Elimu yangu KIDATO CHA SITA.
Nipo Dar es Salaam.
Asanteni