Natafuta kazi, nina Degree ya Property and Facilities Management

Mzee Mambo

Member
Jun 21, 2021
29
18
Habari Za MAJUKUMU wanaJF,

Naombeni msaada kwa mwenye connection ya kazi kwenye makampuni ya MABASI ya mikoani au Mwendokasi (kondakta/Mkata ticket ofisini au Agent).

Elimu yangu KIDATO CHA SITA.

Nipo Dar es Salaam.

Asanteni
 
Habari wana JF,

Natafuta kazi ya Kufanya yoyote iliyo HALALI ili kujikimu kimaisha.

Tafadhali mwenye kazi ama connection aniunganishe

Elimu: kidato cha sita

Umri: 25yrs

Mahali: Dar es salaam

Lugha: Kiswahili fasaha na Kiingereza

Naweza kutumia computer.
 
Habari wana JF,

Natafuta kazi ya Kufanya yoyote iliyo HALALI ili kujikimu kimaisha.

Tafadhali mwenye kazi ama connection aniunganishe

Elimu: kidato cha sita

Umri: 25yrs

Mahali: Dar es salaam

Lugha: Kiswahili fasaha na Kiingereza

Naweza kutumia computer.
 
Habari wana JF,

Natafuta kazi ya Kufanya yoyote iliyo HALALI ili kujikimu kimaisha.

Tafadhali mwenye kazi ama connection aniunganishe

Elimu: kidato cha sita

Umri: 25yrs

Mahali: Dar es salaam

Lugha: Kiswahili fasaha na Kiingereza

Naweza kutumia computer.
 
Mkuu kwanza hongera kwa kuamua kupambana na kukataa kulelewa kwa namna yoyote ile..,
Aidha, kwa kuwa umeamua kufanya kazi yoyote, basi swala la Elimu liwe ni Sifa ya ziada ili uwape Wadau wigo mpana kwa kuzingatia kuwa "connection" moja huzaa nyingine..,
Nikutakie kila lakheiri katika kufanikisha hitaji lako...!!!
 
Mkuu kwanza hongera kwa kuamua kupambana na kukataa kulelewa kwa namna yoyote ile..,
Aidha, kwa kuwa umeamua kufanya kazi yoyote, basi swala la Elimu liwe ni Sifa ya ziada ili uwape Wadau wigo mpana kwa kuzingatia kuwa "connection" moja huzaa nyingine..,
Nikutakie kila lakheiri katika kufanikisha hitaji lako...!!!
Asante Mkuu.
Elimu sio kigezo kwangu, ila nimeweka tu incase
 
Habari wana JF,

Natafuta kazi ya Kufanya yoyote iliyo HALALI ili kujikimu kimaisha.

Tafadhali mwenye kazi ama connection aniunganishe

Elimu: kidato cha sita

Umri: 25yrs

Mahali: Dar es salaam

Lugha: Kiswahili fasaha na Kiingereza

Naweza kutumia computer.
Namba zako za simu?
 
Habari wana JF,

Natafuta kazi ya Kufanya yoyote iliyo HALALI ili kujikimu kimaisha.

Tafadhali mwenye kazi ama connection aniunganishe

Elimu: kidato cha sita

Umri: 25yrs

Mahali: Dar es salaam

Lugha: Kiswahili fasaha na Kiingereza

Naweza kutumia computer
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom