BioPsychologist
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 724
- 1,014
...
Sawa njia zote tunatafuta pesa kama ww umejiajiri una bahati mkuu hakuna asie penda unavyo pendekeza tuko tofauti hasa mazingira na uwezeshi. Mfano hizo kozi gani nitaso a online hhalafu nijiajiri? Zinahusu nini?Mkuu nakushauri Anza Safari yako achana na ajira mkuu, inaonesha mindset yako ipo kwenye ajira tu tafuta vitu vingine ajira hazina msingi wowote , Mambo ya kuitana boss yashapitwa na wakati saivi Kuna...
Endelea kutafuta kazi mkuu , Ila kumbuka hatma ya maisha yako ipo mkononi mwako, eti mazingira wezeshi duuh ungejua watu tuliondoka home na 10000 kuingia mjini kutafuta usingesema hivoSawa njia zote tunatafuta pesa kama ww umejiajiri una bahati mkuu hakuna asie penda unavyo pendekeza tuko tofauti hasa mazingira na uwezeshi. Mfano hizo kozi gani nitaso a online hhalafu nijiajiri? Zinahusu nini ??
Sijakataa ushauri wako, nipe ABC basi huwenda sijawahi tumia njia kama yakoEndelea kutafuta kazi mkuu , Ila kumbuka hatma ya maisha yako ipo mkononi mwako, eti mazingira wezeshi duuh ungejua watu tuliondoka home na 10000 kuingia mjini kutafuta usingesema hivo
Don't Confused...Hiyo ni kozi ya Uwalimu kifupi jamaa ni Mwalimu hayo aliyoa yaandika ni Extra tu ambayo anaweza kuyafanya kutokana kozi yake amesoma na Psychology zipo nyingi hizo kozi za BED...Bongo hiyo kozi ni ngumu kupata kazi Ila Nje ya nchi unaweza kupata.
Unaweza kutembelea balozi za Nje wakupe ABC za kupata kazi Huko
hauwezi jua angalia online pia sio lazima Tanzania.
Chief iko hivi kuwa mwalimu ndiyo lengo la kozi hasa wakilenga kuwafundisha walimu wanaofundisha wanafunzi ngazi mbalimbali lakini BEd Psychology ya UDSM tofauti sana na vyuo vingine hatuna option ya somo lolote kama hesabu ,kemia biology n.k lakini kubwa kuliko ni kufanya Counseling haijarishi ni shuleni au mtaani pale palipo na watu wenye vinywa tunafanya kazi, mfano sport psychology inanipa credit kuwa sports counselor au criminal psychology inanipa kufanya kazi mahakamanikwa mifano hiyo wote mko sawa. Dont worry sisi tunataka hela haijarishi iwe kujiajiri au kuajiriwa kama mna mchongo nipeni niingize kipato.Don't Confused...Hiyo ni kozi ya Uwalimu kifupi jamaa ni Mwalimu hayo aliyoa yaandika ni Extra tu ambayo anaweza kuyafanya kutokana kozi yake amesoma na Psychology zipo nyingi hizo kozi za BED...
Kifupi ni Mwalimu rahisi kupata kazi Shuleni na Serikalini.
Unamaanisha Bed Psychology UDSM hawasomi masomo ya kufundishia kama Biology, Chem nk.Chief iko hivi kuwa mwalimu ndiyo lengo la kozi hasa wakilenga kuwafundisha walimu wanaofundisha wanafunzi ngazi mbalimbali lakini BEd Psychology ya UDSM tofauti sana na vyuo vingine hatuna option ya somo lolote kama hesabu ,kemia biology n.k lakini kubwa kuliko ni kufanya Counseling haijarishi ni shuleni au mtaani pale palipo na watu wenye vinywa tunafanya kazi, mfano sport psychology inanipa credit kuwa sports counselor au criminal psychology inanipa kufanya kazi mahakamanikwa mifano hiyo wote mko sawa. Dont worry sisi tunataka hela haijarishi iwe kujiajiri au kuajiriwa kama mna mchongo nipeni niingize kipato.
Iko ivyo kwa UDSM hawatoi n masomo ya kufundishia, Ila kwengine masomo ya kufundishia ni lazimaUnamaanisha Bed Psychology UDSM hawasomi masomo ya kufundishia kama Biology, Chem nk.
Kama itakuwa hivyo ni mbaya maana vyuo vyengine vinavyotoa Bed Psychology wanasoma na masomo ya kufundishia na mwisho wa siku hayo uliyoyasema juu yote bado wanafanya pia.
Yap mfano bed psychology ya udom wanatoa pia na masomo ya kufundishia m mwenyewe nimesoma hyo programmeIko ivyo kwa UDSM hawatoi n masomo ya kufundishia, Ila kwengine masomo ya kufundishia ni lazima