Chuo umemaliza lini?Yah tayari ninayo mkuu..na huwa najaribu kuapply nikiona post zinazoendana na professional yangu japo bado hali c hali mkuu.
Shukran mkuu...Laboratory Scientist at CLINTON HEALTH ACCESS INITIATIVE TANZANIA | BrighterMonday
Laboratory Scientist at CLINTON HEALTH ACCESS INITIATIVE TANZANIA
Hii ni Kwa ngazi ya diploma wanahitajiLABORATORY TECHNOLOGIST at Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) | BrighterMonday
LABORATORY TECHNOLOGIST at Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI)
Hii ni Kwa ngazi ya diploma wanahitaji
Mkuu hii profile naipataje naomba msaada wakoUna profile sekretarieti ya ajira tayari?
Bado mkuu nisaidieUlifanikiwa mkuu?