Creah
Member
- Apr 6, 2018
- 75
- 79
Mimi ni mwalimu ambae sina kazi, hivyo kwa yeyote mwenye mchongo wa shule au center na anauhitaji wa mwalimu tuwasiliane. Nina diploma ya elimu ya msingi na nimebobea kwenye masomo ya HISABATI NA SAYANSI. Nipo teyali kufanya kazi mkoa wowote Tz ,na nikijana wa miaka 25 na sijaoa. kwa sasa nipo DODOMA
No. 0659103997
Email mgogotv69@gmail.com
No. 0659103997
Email mgogotv69@gmail.com