lerman3x
Member
- Jul 3, 2022
- 95
- 239
Mimi ni kijana wa miaka 24 ni muhitimu wa shahada ya ukemia mwaka 2021 katika chuo kikuu cha Dodoma . Ninahitaji ajira yoyote ya halali katika viwanda au kampuni yoyote inayohusiana na ukemia.
Yoyote mwenye kunisaidia anaweza kuniPM tafadhali! Natanguliza shukrani
Yoyote mwenye kunisaidia anaweza kuniPM tafadhali! Natanguliza shukrani