Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 998
- 545
Habarini jamani,,Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 24,nimemaliza course ya clinical officer 2020 na nimekua registerd na board na ninayo leseni ya kazi.
Natafuta kazi kwenye mahospitali au vituo vya afya,uuzaji kwenye pharmacy na hata pia kazi kwenye mashirika pia nikipata nitashkuru.
Makazi yangu kwa sasa ni daresalam,lakini mikoani nipo tearii kufanya pia tukipatana..
Shukran .
Natafuta kazi kwenye mahospitali au vituo vya afya,uuzaji kwenye pharmacy na hata pia kazi kwenye mashirika pia nikipata nitashkuru.
Makazi yangu kwa sasa ni daresalam,lakini mikoani nipo tearii kufanya pia tukipatana..
Shukran .