Natafuta kazi Mimi ni clinical officer

Twyn

JF-Expert Member
Dec 19, 2020
998
545
Habarini jamani,,Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 24,nimemaliza course ya clinical officer 2020 na nimekua registerd na board na ninayo leseni ya kazi.
Natafuta kazi kwenye mahospitali au vituo vya afya,uuzaji kwenye pharmacy na hata pia kazi kwenye mashirika pia nikipata nitashkuru.
Makazi yangu kwa sasa ni daresalam,lakini mikoani nipo tearii kufanya pia tukipatana..
Shukran .
 
Habarini jamani,,Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 24,nimemaliza course ya clinical officer 2020 na nimekua registerd na board na ninayo leseni ya kazi.
Natafuta kazi kwenye mahospitali au vituo vya afya,uuzaji kwenye pharmacy na hata pia kazi kwenye mashirika pia nikipata nitashkuru.
Makazi yangu kwa sasa ni daresalam,lakini mikoani nipo tearii kufanya pia tukipatana..
Shukran .
Amref wametangaza kazi, nenda ujaribu na huko
 
Habarini jamani,,Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 24,nimemaliza course ya clinical officer 2020 na nimekua registerd na board na ninayo leseni ya kazi.
Natafuta kazi kwenye mahospitali au vituo vya afya,uuzaji kwenye pharmacy na hata pia kazi kwenye mashirika pia nikipata nitashkuru.
Makazi yangu kwa sasa ni daresalam,lakini mikoani nipo tearii kufanya pia tukipatana..
Shukran .
Habari yako ndugu, nimekutafuta kukuuliza kuhusu clinical officer specific kwenye leseni na usajili kwenye board maana Nina mdogo wangu naye kahitimu na hajui ni vipi anaweza pata hivyo viwili maswali yangu kwako.
1. Hiyo leseni ni ya Nini na inatolewa wapi na process ya kuipata ni ipi?
2. Ma clinical officer mnasajiliwa kwenye board ipi?
3. Process ya usajili kwenye hiyo board
 
Habari yako ndugu, nimekutafuta kukuuliza kuhusu clinical officer specific kwenye leseni na usajili kwenye board maana Nina mdogo wangu naye kahitimu na hajui ni vipi anaweza pata hivyo viwili maswali yangu kwako.
1. Hiyo leseni ni ya Nini na inatolewa wapi na process ya kuipata ni ipi?
2. Ma clinical officer mnasajiliwa kwenye board ipi?
3. Process ya usajili kwenye hiyo board
Leseni ndo inayokuruhusu wew kufanya kazi za kitabibu, lessen inatolewa na Medical Council of Tanganyika (MCT). Unatakiwa uwe na account huko MCT, namna ya kujisajili ni rahisi tu, unaingia kweny website ya MCT then kuna maelekezo pale ya kufuata. Utatakiwa kulipa kiasi cha pesa na kila kitu utakikuta kt website yao ya MCT. Karibu
 
Habarini jamani,,Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 24,nimemaliza course ya clinical officer 2020 na nimekua registerd na board na ninayo leseni ya kazi.
Natafuta kazi kwenye mahospitali au vituo vya afya,uuzaji kwenye pharmacy na hata pia kazi kwenye mashirika pia nikipata nitashkuru.
Makazi yangu kwa sasa ni daresalam,lakini mikoani nipo tearii kufanya pia tukipatana..
Shukran .
Teari ndo nini?Halafu unatarajia mtu akuamini.
 
Leseni ndo inayokuruhusu wew kufanya kazi za kitabibu, lessen inatolewa na Medical Council of Tanganyika (MCT). Unatakiwa uwe na account huko MCT, namna ya kujisajili ni rahisi tu, unaingia kweny website ya MCT then kuna maelekezo pale ya kufuata. Utatakiwa kulipa kiasi cha pesa na kila kitu utakikuta kt website yao ya MCT. Karibu
Asante sana mkuu
 
Habarini jamani,,Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 24,nimemaliza course ya clinical officer 2020 na nimekua registerd na board na ninayo leseni ya kazi.
Natafuta kazi kwenye mahospitali au vituo vya afya,uuzaji kwenye pharmacy na hata pia kazi kwenye mashirika pia nikipata nitashkuru.
Makazi yangu kwa sasa ni daresalam,lakini mikoani nipo tearii kufanya pia tukipatana..
Shukran .
Njoo pm

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Habari yako ndugu, nimekutafuta kukuuliza kuhusu clinical officer specific kwenye leseni na usajili kwenye board maana Nina mdogo wangu naye kahitimu na hajui ni vipi anaweza pata hivyo viwili maswali yangu kwako.
1. Hiyo leseni ni ya Nini na inatolewa wapi na process ya kuipata ni ipi?
2. Ma clinical officer mnasajiliwa kwenye board ipi?
3. Process ya usajili kwenye hiyo board

Nitafute nikusaidie kuprocess...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom