Empirically
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 238
- 86
Wakuu habari za saizi! Mimi ni kijana wa kiume, mhitimu wa diploma ya ualimu lakini bado sijafanikiwa kupata kazi. Hivyo naomba kazi yoyote ya halali ya kuniwezesha kuendesha maisha yangu.
Iwe niliyosomea au yoyote nitakayoweza kuifanya. Mimi naishi Dodoma. Kama kazi ikipatikana mikoa ya nyanda za juu kusini itakuwa vizuri zaidi, maana pia napenda kilimo.Na pia ndoto yangu kuishi mikoa ya huko wakuu.
Hivyo naomba msaada wakuu niende mbali na nyumbani nije huko kutafuta.
Natanguliza shukrani ndugu.
Iwe niliyosomea au yoyote nitakayoweza kuifanya. Mimi naishi Dodoma. Kama kazi ikipatikana mikoa ya nyanda za juu kusini itakuwa vizuri zaidi, maana pia napenda kilimo.Na pia ndoto yangu kuishi mikoa ya huko wakuu.
Hivyo naomba msaada wakuu niende mbali na nyumbani nije huko kutafuta.
Natanguliza shukrani ndugu.