mysara2011
Member
- Sep 28, 2017
- 69
- 84
Kama kichwa cha habari kinavyosema wapendwa nina elimu ya shahada ya kwanza katika mambo ya Tehama . Na pia ni mwajiriwa katika sector binafsi inshort hapa nilipo sipapendi kabisa. Naomba mtu anisaidie plz kupata kazi kwenye makampuni ya simu kama Voda, Tigo, TTCL au hata Halotel au ofisi yoyote ntakaoweza kupractise nilichosomea hasa mambo ya IT maana hapa napofanya nafanya tofauti na niliyosomea.