Habari wana JF,
Ninatafuta kazi either permanent or temporary kwenye hospital au dispensary upande wa NHIF E-Claim. Nina uzoefu na weled wa kutosha kuhusiana na uingizaji data wa hizo forms za wagonjwa wa NHIF kwa mwenye uitaji au mwenye kufahamu mahali wanauhitaji. Pls naomba connection.
Thanx
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninatafuta kazi either permanent or temporary kwenye hospital au dispensary upande wa NHIF E-Claim. Nina uzoefu na weled wa kutosha kuhusiana na uingizaji data wa hizo forms za wagonjwa wa NHIF kwa mwenye uitaji au mwenye kufahamu mahali wanauhitaji. Pls naomba connection.
Thanx
Sent using Jamii Forums mobile app