X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,647
- 12,216
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Asante ubarikiwe sanaMungu akuongoze upate ajira mkuu
Asante...muda mwingine kidogo cha halali ni bora zaidibila kumung'unya maneno. ndani ya miaka mitatu hutapata kazi serikalini lkn binafsi utapata kwa mshahara chini ya ule Wa serikali na utafundisha masomo yoye uliyosoma advance.
utafanya kazi tembo, mshahara sisimizi
mwaka 2016umemaliza mwaka gani pia chuo gani?
nmeuliza pia chuo gani,? ikiwa unaona si vzuri kuandika hapa, unaweza uka ni pmmwaka 2016
SAUT MWANZAnmeuliza pia chuo gani,? ikiwa unaona si vzuri kuandika hapa, unaweza uka ni pm
kwa sasa upo mkoa gani?SAUT MWANZA
nipo Dar es salaamkwa sasa upo mkoa gani?
vizuri, nitajaribu kukuulzia, kuna shule fulani hv kigambon ilikuwa inahitaji mwalimu haraka, maana aliekuwepo alihama mwezi uliopitanipo Dar es salaam
asante sana nitashukuru sana ndugu yangu....vizuri, nitajaribu kukuulzia, kuna shule fulani hv kigambon ilikuwa inahitaji mwalimu haraka, maana aliekuwepo alihama mwezi uliopita
Kwani hizo info ukimpa hapa hapa kuna nini...acha hizo nduguni pm nikupe info
Jinsia IPI?