nenda TBL pale mtafute Kavishe akupe kazi mwambie nimekwambia uende.sawa?
Ndg pole ingekuwa IT au Bcom sawa hio kidogo itakuwa ngumu ila ngoja nijaribu kukuulizia.
nenda TBL pale mtafute Kavishe akupe kazi mwambie nimekwambia uende.sawa?
dont display your phone number public ukifanya hivyo itakukost. Nenda kwenye profile yako tafuta sehemu ya 'send message' hiyo ndio kuPM ndugu yangu. Hutapata kazi wewe fanya bidii kuomba tu sehemu mbalimbalisijaelewa nita ku PM wapi may b nikupe namba then tuwasiliane au?
Makambi ya Tanzania yaliyo mengi yanafungwa, mengine yameshafungwa. Kwa sasa uwezekano wa kupata nafasi za kazi katika mashirika yanayohudumia makambini ni mdogo sana, maana wafanyakazi waliopo wanapunguzwa. Nafasi ikitoka, wanafikiriwa wale ambao tayari wako kazini na wako hatarini kupunguzwa. Sikukatishi tamaa ila naeleza hali halisi. Labda kama hali itabadilika.Vilevile unaweza kunitumia PM kama zitatoka post za nutrition katika makambi ya Tanzania naweza kukuunganishia.
hakuna ugumu wowote! zali lake tu bado halija mtokea...mdau vumilia 'one day yes'
cheki kwenye internet website ambazo ziko related na shughuli km za wakimbizi huwa wanahitaji nutritionists. Jaribu www.reliefweb.int au www.unjobs.org. Kila la kheri