Natafuta kazi yoyote ile halali, bila kuchagua kiasi Cha mshahara ila kiwe kinamudu mahitaji ya Mtanzania wa chini. Elimu yangu Chuo kikuu (hii level ya elimu ni kama CV tu, but mshahara wowote ule).
Napatikana mkoa wa Mbeya lakini naweza fanya kazi mkoa wowote mahali popote.
ASANTENI🙏NA KARIBUNI🙏
Napatikana mkoa wa Mbeya lakini naweza fanya kazi mkoa wowote mahali popote.
ASANTENI🙏NA KARIBUNI🙏