Sherrif Rango
Member
- Feb 24, 2019
- 12
- 3
Habari wadau. Natafuta kazi fani yangu ni Camera Man. Naweza kufanya photography, Shooting na editing pia. Nina uzoefu wa miaka2.
Kwa yoyote atakaye sikia mtu anahitaji mtu mwenye fani kama yangu tafadhali naomba unijulishe..
Pia naendelea kujifunza mambo mbali mbali hivyo hata kama kuna mtu mwenye ofisi angependa kunitumia wakati nikijifunza zaidi nakubali.
Asante..
Kwa yoyote atakaye sikia mtu anahitaji mtu mwenye fani kama yangu tafadhali naomba unijulishe..
Pia naendelea kujifunza mambo mbali mbali hivyo hata kama kuna mtu mwenye ofisi angependa kunitumia wakati nikijifunza zaidi nakubali.
Asante..