Mnyakilambo7
Member
- Oct 15, 2014
- 63
- 27
Habarini wakuu.
Kama kichwa cha thread kinavojieleza hapo juu. Mimi ni mwanaume. Umri wangu ni Miaka 23, Elimu yangu ni Diploma in Electrical Engineering. Kwa sasa nipo Dar Es Salaam, ila nipo tayari kufanya kazi popote nchini. Natafuta kazi tajwa hapo juu.
Msaada wenu wakuu, maana najua JF huwaga hakiharibiki kitu.
Natanguliza shukrani zangu.
Kama kichwa cha thread kinavojieleza hapo juu. Mimi ni mwanaume. Umri wangu ni Miaka 23, Elimu yangu ni Diploma in Electrical Engineering. Kwa sasa nipo Dar Es Salaam, ila nipo tayari kufanya kazi popote nchini. Natafuta kazi tajwa hapo juu.
Msaada wenu wakuu, maana najua JF huwaga hakiharibiki kitu.
Natanguliza shukrani zangu.