Black Mann
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 140
- 209
Habari ndugu zangu,
Naomba kwa anayejua mkoa naoweza kupata karanga nzuri zile kubwa kubwa kidogo, sio hizi ndogo ndogo (wakulima / wauzaji wanajua)
Pia, naomba kwa mtu anayeweza kujua zinakopatikana ndizi za kuiva zile ndogo ndogo.
Karanga nataka zije Dar!! naombeni bei elekezi kwa kilo.
Naomba kwa anayejua mkoa naoweza kupata karanga nzuri zile kubwa kubwa kidogo, sio hizi ndogo ndogo (wakulima / wauzaji wanajua)
Pia, naomba kwa mtu anayeweza kujua zinakopatikana ndizi za kuiva zile ndogo ndogo.
Karanga nataka zije Dar!! naombeni bei elekezi kwa kilo.