kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,573
Nahitaji kiwanja maeneo ya KIBAHA au CHANIKA ila sina hela cash hivyo kama kuna kampuni inayokopesha viwanja na kulipa kidogo kidogo kwa kukatwa kwenye mshahara wangu nipo tayari.
-Kiwanja kiwe na sqm 600 au zaidi.
-Bei isizidi milioni 3.
-Muda wa makato ni miaka mingapi?
-viwe vimepimwa itakua vizuri zaidi.
-Kiwanja kiwe na sqm 600 au zaidi.
-Bei isizidi milioni 3.
-Muda wa makato ni miaka mingapi?
-viwe vimepimwa itakua vizuri zaidi.